13 “Na itatukia kwamba ikiwa mtatii amri+ zangu ninazowaamuru ninyi leo ili kumpenda Yehova Mungu wenu na kumtumikia kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote,+
27 Akajibu, akasema: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa nguvu zako zote na kwa akili+ yako yote,’ na, ‘jirani yako kama wewe mwenyewe.’ ”+