13 Kwa hiyo Yehova na amtendee Yonathani hivyo na kuzidi,+ ikiwa, itakuwa vema kwa baba yangu kukutendea uovu, nami nisikufunulie habari hizo sikioni mwako na kukuacha uende zako, nawe hakika usiende kwa amani. Yehova na awe pamoja nawe,+ kama vile alivyokuwa pamoja na baba yangu.+