Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako.+ Unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kushikamana naye,+ na kwa jina lake unapaswa kutoa ahadi zenye kiapo.+

  • Waamuzi 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tutafanya nini kwa wale waliobaki kuhusiana na wake, kwa kuwa sisi wenyewe tumeapa+ kwa Yehova kwamba hatutawapa yeyote wa binti zetu ili wawe wake zao?”+

  • Yeremia 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki