20 “Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako.+ Unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kushikamana naye,+ na kwa jina lake unapaswa kutoa ahadi zenye kiapo.+
7 Tutafanya nini kwa wale waliobaki kuhusiana na wake, kwa kuwa sisi wenyewe tumeapa+ kwa Yehova kwamba hatutawapa yeyote wa binti zetu ili wawe wake zao?”+
16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+