9 Kwa hiyo Yonathani akasema: “Hilo ni jambo lisilowaziwa kukuhusu! Lakini nikijua kwa vyovyote kwamba baba yangu ameazimia uovu uje juu yako, je, sitakuambia jambo hilo?”+
17 Na sasa ujue na kuona jambo la kufanya, kwa maana msiba umeazimiwa+ juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote, kwa maana yeye ni mtu asiyefaa kitu+ sana hata mtu hawezi kusema naye.”