Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo Yonathani akasema: “Hilo ni jambo lisilowaziwa kukuhusu! Lakini nikijua kwa vyovyote kwamba baba yangu ameazimia uovu uje juu yako, je, sitakuambia jambo hilo?”+

  • 1 Samweli 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+

  • Esta 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mfalme naye akasimama akiwa na ghadhabu+ akatoka kwenye karamu ya divai na kwenda katika bustani ya jumba la mfalme; Hamani naye akasimama kutoa ombi kwa Malkia Esta kwa ajili ya nafsi yake,+ maana aliona kuwa mfalme+ ameazimia mabaya+ juu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki