Zaburi 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Acha hasira na uache ghadhabu;+Usijionyeshe umewaka hasira ili tu kufanya uovu.+ Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ Mhubiri 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe na haraka kuudhika katika roho yako,+ kwa maana kuudhika hukaa katika kifua cha wajinga.+