Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akasema nao kulingana na lile shauri la vijana,+ akisema: “Baba yangu aliifanya nira yenu kuwa nzito, lakini mimi nitaizidisha nira yenu. Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.”+

  • 1 Wafalme 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Israeli wote walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, ndipo watu wakamjibu mfalme, wakisema: “Tuna fungu gani katika Daudi?+ Wala hakuna urithi katika mwana wa Yese. Haya, nenda kwa miungu yako,+ Ee Israeli. Sasa angalia nyumba yako mwenyewe, Ee Daudi!”+ Kwa hiyo Israeli wakaanza kwenda katika mahema yao.

  • Methali 29:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,+ na mtu yeyote mwenye mwelekeo wa ghadhabu ana makosa mengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki