2 Mambo ya Nyakati 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 naye akasema nao kulingana na lile shauri la vijana,+ akisema: “Nitaifanya nira yenu iwe nzito zaidi, nami nitaizidisha. Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.”+ Methali 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia;+ lakini mtu yeyote mwovu anapotawala, watu huugua.+
14 naye akasema nao kulingana na lile shauri la vijana,+ akisema: “Nitaifanya nira yenu iwe nzito zaidi, nami nitaizidisha. Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.”+