Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 10:1

Marejeo

  • +1Fa 12:1
  • +Mwa 12:6; Yos 20:7; 24:1; Amu 9:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2018, uku. 13

2 Mambo ya Nyakati 10:2

Marejeo

  • +1Fa 11:28
  • +1Fa 11:40
  • +1Fa 12:2

2 Mambo ya Nyakati 10:3

Marejeo

  • +1Fa 12:3

2 Mambo ya Nyakati 10:4

Marejeo

  • +Met 29:2; Mhu 4:1
  • +Mhu 5:8
  • +1Fa 12:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2018, uku. 13

2 Mambo ya Nyakati 10:6

Marejeo

  • +2Sa 16:20; Ayu 12:12
  • +1Fa 12:6

2 Mambo ya Nyakati 10:7

Marejeo

  • +Met 12:8; 15:1; Mhu 10:4; Zek 1:13
  • +1Fa 12:7

2 Mambo ya Nyakati 10:8

Marejeo

  • +Met 1:25; 19:20; Mhu 10:3; Isa 30:1
  • +Met 13:20; Isa 3:4; 2Ti 4:3
  • +1Fa 12:8

2 Mambo ya Nyakati 10:9

Marejeo

  • +1Fa 22:6; Met 21:30
  • +1Fa 12:9

2 Mambo ya Nyakati 10:10

Marejeo

  • +1Fa 12:10
  • +Ayu 31:13; Zb 140:11; Met 10:14; 18:6; 28:25; 29:23; Mt 23:4

2 Mambo ya Nyakati 10:11

Marejeo

  • +1Sa 8:18; Isa 58:6
  • +1Fa 12:11

2 Mambo ya Nyakati 10:12

Marejeo

  • +1Fa 12:12

2 Mambo ya Nyakati 10:13

Marejeo

  • +1Sa 20:10; Met 10:11; 12:13; 14:16; 15:1; Efe 4:31; 6:9
  • +Met 19:27
  • +1Fa 12:13; Ayu 12:12

2 Mambo ya Nyakati 10:14

Marejeo

  • +2Nya 22:4; Met 12:5
  • +Met 11:17; Mhu 7:7

2 Mambo ya Nyakati 10:15

Marejeo

  • +Kum 2:30; Zb 5:10; Met 21:1; Amo 3:6
  • +1Sa 15:29; 2Sa 17:14; 2Fa 10:10; Isa 55:11
  • +1Fa 12:15
  • +1Fa 11:30
  • +1Fa 11:29

2 Mambo ya Nyakati 10:16

Marejeo

  • +1Fa 11:13
  • +2Sa 20:1
  • +Kut 20:3; Kum 13:5; 1Fa 12:16; Met 11:9
  • +1Fa 11:32

2 Mambo ya Nyakati 10:17

Marejeo

  • +1Fa 11:36; 2Nya 11:1

2 Mambo ya Nyakati 10:18

Marejeo

  • +2Sa 20:24; 1Fa 4:6; 12:18
  • +Hes 14:10; 2Nya 24:21
  • +1Fa 12:18

2 Mambo ya Nyakati 10:19

Marejeo

  • +1Sa 10:19; 2Fa 17:21

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 10:11Fa 12:1
2 Nya. 10:1Mwa 12:6; Yos 20:7; 24:1; Amu 9:1
2 Nya. 10:21Fa 11:28
2 Nya. 10:21Fa 11:40
2 Nya. 10:21Fa 12:2
2 Nya. 10:31Fa 12:3
2 Nya. 10:4Met 29:2; Mhu 4:1
2 Nya. 10:4Mhu 5:8
2 Nya. 10:41Fa 12:4
2 Nya. 10:62Sa 16:20; Ayu 12:12
2 Nya. 10:61Fa 12:6
2 Nya. 10:7Met 12:8; 15:1; Mhu 10:4; Zek 1:13
2 Nya. 10:71Fa 12:7
2 Nya. 10:8Met 1:25; 19:20; Mhu 10:3; Isa 30:1
2 Nya. 10:8Met 13:20; Isa 3:4; 2Ti 4:3
2 Nya. 10:81Fa 12:8
2 Nya. 10:91Fa 22:6; Met 21:30
2 Nya. 10:91Fa 12:9
2 Nya. 10:101Fa 12:10
2 Nya. 10:10Ayu 31:13; Zb 140:11; Met 10:14; 18:6; 28:25; 29:23; Mt 23:4
2 Nya. 10:111Sa 8:18; Isa 58:6
2 Nya. 10:111Fa 12:11
2 Nya. 10:121Fa 12:12
2 Nya. 10:131Sa 20:10; Met 10:11; 12:13; 14:16; 15:1; Efe 4:31; 6:9
2 Nya. 10:13Met 19:27
2 Nya. 10:131Fa 12:13; Ayu 12:12
2 Nya. 10:142Nya 22:4; Met 12:5
2 Nya. 10:14Met 11:17; Mhu 7:7
2 Nya. 10:15Kum 2:30; Zb 5:10; Met 21:1; Amo 3:6
2 Nya. 10:151Sa 15:29; 2Sa 17:14; 2Fa 10:10; Isa 55:11
2 Nya. 10:151Fa 12:15
2 Nya. 10:151Fa 11:30
2 Nya. 10:151Fa 11:29
2 Nya. 10:161Fa 11:13
2 Nya. 10:162Sa 20:1
2 Nya. 10:16Kut 20:3; Kum 13:5; 1Fa 12:16; Met 11:9
2 Nya. 10:161Fa 11:32
2 Nya. 10:171Fa 11:36; 2Nya 11:1
2 Nya. 10:182Sa 20:24; 1Fa 4:6; 12:18
2 Nya. 10:18Hes 14:10; 2Nya 24:21
2 Nya. 10:181Fa 12:18
2 Nya. 10:191Sa 10:19; 2Fa 17:21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 10:1-19

2 Mambo ya Nyakati

10 Na Rehoboamu+ akaenda Shekemu,+ kwa maana Waisraeli wote walikuja Shekemu ili kumfanya kuwa mfalme. 2 Na ikawa kwamba mara tu Yeroboamu+ mwana wa Nebati aliposikia habari hizo alipokuwa angali Misri,+ (kwa maana alikuwa amekimbia kwa sababu ya Sulemani mfalme,) Yeroboamu akarudi mara moja kutoka Misri.+ 3 Basi wakatuma watu wamwite, na Yeroboamu na Israeli wote wakaja, wakamwambia Rehoboamu, wakisema:+ 4 “Baba yako aliifanya nira yetu kuwa ngumu;+ na sasa wewe ufanye ule utumishi mgumu wa baba yako na ile nira nzito+ aliyoweka juu yetu kuwa rahisi, nasi tutakutumikia.”+

5 Ndipo akawaambia: “Na kupite siku tatu. Kisha mrudi kwangu.” Basi watu wakaenda zao. 6 Na Mfalme Rehoboamu akaanza kushauriana+ na wanaume wazee waliokuwa wakimhudumia Sulemani baba yake sikuzote alipokuwa angali hai, akisema: “Mnatoa shauri gani la kuwajibu watu hawa?”+ 7 Basi wakasema naye, wakimwambia: “Ukiwa mwema kwa watu hawa na kuwapendeza na kusema nao maneno mema,+ wao pia watakuwa watumishi wako sikuzote.”+

8 Hata hivyo, akaliacha shauri+ la wanaume wazee walilomshauri, naye akaanza kushauriana na vijana waliokua pamoja naye,+ waliokuwa wakimhudumia.+ 9 Naye akawaambia: “Mnatoa shauri gani+ ili tuwajibu watu hawa ambao wamesema nami, wakiniambia, ‘Ifanye nira ambayo baba yako aliweka juu yetu iwe rahisi’?”+ 10 Ndipo wale vijana waliokua pamoja naye wakamwambia, wakisema: “Waambie hivi watu ambao wamesema nawe, ‘Baba yako aliifanya nira yetu kuwa nzito, lakini wewe ifanye iwe rahisi juu yetu’; wewe waambie hivi,+ ‘Kidole changu kidogo kwa hakika kitakuwa kinene kuliko kiuno cha baba yangu.+ 11 Na sasa baba yangu aliweka juu yenu nira nzito, lakini mimi nitaizidisha nira yenu.+ Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.’”+

12 Na Yeroboamu na watu wote wakamjia Rehoboamu siku ya tatu, kama mfalme alivyosema: “Rudini kwangu siku ya tatu.”+ 13 Na mfalme akaanza kuwajibu kwa ukali.+ Basi Mfalme Rehoboamu akaliacha shauri+ la wanaume wazee,+ 14 naye akasema nao kulingana na lile shauri la vijana,+ akisema: “Nitaifanya nira yenu iwe nzito zaidi, nami nitaizidisha. Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.”+ 15 Na mfalme hakuwasikiliza watu; kwa maana Mungu wa kweli+ ndiye aliyeongoza mambo ili Yehova atimize neno+ lake alilomwambia Yeroboamu mwana wa Nebati+ kupitia Ahiya+ Mshilo.+

16 Nao Israeli wote, kwa sababu mfalme hakuwasikiliza, hao watu sasa wakamjibu mfalme, wakisema: “Tuna fungu gani katika Daudi?+ Wala hakuna urithi katika mwana wa Yese.+ Kila mmoja aende kwa miungu yake,+ Ee Israeli! Sasa angalia nyumba yako mwenyewe, Ee Daudi.”+ Kwa hiyo Israeli wote wakaanza kwenda katika mahema yao.

17 Naye Rehoboamu akaendelea kutawala juu ya wana wa Israeli waliokuwa wakikaa katika majiji ya Yuda.+

18 Basi Mfalme Rehoboamu akamtuma Hadoramu,+ aliyekuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa, lakini wana wa Israeli wakampiga kwa mawe,+ naye akafa. Naye Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda katika gari lake, akakimbia kwenda Yerusalemu.+ 19 Na Waisraeli wakaendeleza maasi+ yao juu ya nyumba ya Daudi mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki