36 Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi mtumishi wangu aendelee kuwa na taa sikuzote mbele zangu katika Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia ili kuweka jina langu humo.+
11Rehoboamu alipofika Yerusalemu,+ mara moja akaikutanisha nyumba ya Yuda na Benyamini,+ wanaume bora, watu hodari wa vita,+ watu 180,000, wapigane na Israeli ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.