1 Wafalme 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Rehoboamu alipofika Yerusalemu,+ mara moja akakutanisha nyumba yote ya Yuda na kabila la Benyamini,+ wanaume bora 180,000 kwa ajili ya vita, ili wapigane na nyumba ya Israeli, ili kumrudishia ufalme Rehoboamu mwana wa Sulemani.
21 Rehoboamu alipofika Yerusalemu,+ mara moja akakutanisha nyumba yote ya Yuda na kabila la Benyamini,+ wanaume bora 180,000 kwa ajili ya vita, ili wapigane na nyumba ya Israeli, ili kumrudishia ufalme Rehoboamu mwana wa Sulemani.