1 Wafalme 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Rehoboamu alipofika Yerusalemu, mara moja aliikusanya nyumba yote ya Yuda na kabila la Benjamini, mashujaa 180,000 waliozoezwa,* ili wapigane na nyumba ya Israeli na kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Sulemani.+
21 Rehoboamu alipofika Yerusalemu, mara moja aliikusanya nyumba yote ya Yuda na kabila la Benjamini, mashujaa 180,000 waliozoezwa,* ili wapigane na nyumba ya Israeli na kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Sulemani.+