Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 11:1

Marejeo

  • +1Fa 12:21
  • +Mwa 49:27; Amu 20:14; 2Nya 14:8
  • +Zb 33:16

2 Mambo ya Nyakati 11:2

Marejeo

  • +2Nya 12:15

2 Mambo ya Nyakati 11:3

Marejeo

  • +1Fa 12:23

2 Mambo ya Nyakati 11:4

Marejeo

  • +2Sa 2:26; Mdo 7:26
  • +1Fa 11:31; 2Nya 10:15
  • +1Fa 12:24

2 Mambo ya Nyakati 11:6

Marejeo

  • +Mwa 35:19; Mt 2:1
  • +1Nya 4:3
  • +2Sa 14:2; Amo 1:1

2 Mambo ya Nyakati 11:7

Marejeo

  • +Yos 15:58
  • +2Nya 28:18
  • +Yos 12:15; 1Sa 22:1

2 Mambo ya Nyakati 11:8

Marejeo

  • +1Nya 18:1
  • +Yos 15:44
  • +1Sa 23:14

2 Mambo ya Nyakati 11:9

Marejeo

  • +Yos 10:5; 2Nya 32:9
  • +Yos 10:10; Ne 11:30; Yer 34:7

2 Mambo ya Nyakati 11:10

Marejeo

  • +Yos 15:33
  • +Yos 19:42
  • +Mwa 23:2; Yos 14:15; 2Sa 2:1

2 Mambo ya Nyakati 11:11

Marejeo

  • +Isa 22:10
  • +2Nya 17:19

2 Mambo ya Nyakati 11:12

Marejeo

  • +2Nya 32:5
  • +2Nya 26:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

2 Mambo ya Nyakati 11:14

Marejeo

  • +Hes 35:3; Yos 21:21
  • +Hes 35:2
  • +Kut 32:26; Kum 33:8
  • +1Fa 12:31
  • +Kum 12:19

2 Mambo ya Nyakati 11:15

Marejeo

  • +1Fa 13:33
  • +Law 17:7; Isa 13:21
  • +1Fa 12:28

2 Mambo ya Nyakati 11:16

Marejeo

  • +2Nya 15:9; 30:11
  • +Kum 12:11; 1Nya 22:1

2 Mambo ya Nyakati 11:17

Marejeo

  • +2Nya 12:1
  • +2Nya 1:1; 7:17; 8:13; Ho. 6:4

2 Mambo ya Nyakati 11:18

Marejeo

  • +1Sa 16:6; 17:13

2 Mambo ya Nyakati 11:20

Marejeo

  • +1Fa 15:2; 2Nya 11:21
  • +2Sa 13:1; 18:33
  • +1Fa 15:1; 2Nya 12:16; Mt 1:7

2 Mambo ya Nyakati 11:21

Marejeo

  • +Kum 17:17; Amu 8:30; 1Fa 11:3

2 Mambo ya Nyakati 11:23

Marejeo

  • +Met 16:20
  • +Yos 18:11
  • +2Nya 11:11
  • +2Nya 21:3
  • +Kum 17:17

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 11:11Fa 12:21
2 Nya. 11:1Mwa 49:27; Amu 20:14; 2Nya 14:8
2 Nya. 11:1Zb 33:16
2 Nya. 11:22Nya 12:15
2 Nya. 11:31Fa 12:23
2 Nya. 11:42Sa 2:26; Mdo 7:26
2 Nya. 11:41Fa 11:31; 2Nya 10:15
2 Nya. 11:41Fa 12:24
2 Nya. 11:6Mwa 35:19; Mt 2:1
2 Nya. 11:61Nya 4:3
2 Nya. 11:62Sa 14:2; Amo 1:1
2 Nya. 11:7Yos 15:58
2 Nya. 11:72Nya 28:18
2 Nya. 11:7Yos 12:15; 1Sa 22:1
2 Nya. 11:81Nya 18:1
2 Nya. 11:8Yos 15:44
2 Nya. 11:81Sa 23:14
2 Nya. 11:9Yos 10:5; 2Nya 32:9
2 Nya. 11:9Yos 10:10; Ne 11:30; Yer 34:7
2 Nya. 11:10Yos 15:33
2 Nya. 11:10Yos 19:42
2 Nya. 11:10Mwa 23:2; Yos 14:15; 2Sa 2:1
2 Nya. 11:11Isa 22:10
2 Nya. 11:112Nya 17:19
2 Nya. 11:122Nya 32:5
2 Nya. 11:122Nya 26:14
2 Nya. 11:14Hes 35:3; Yos 21:21
2 Nya. 11:14Hes 35:2
2 Nya. 11:14Kut 32:26; Kum 33:8
2 Nya. 11:141Fa 12:31
2 Nya. 11:14Kum 12:19
2 Nya. 11:151Fa 13:33
2 Nya. 11:15Law 17:7; Isa 13:21
2 Nya. 11:151Fa 12:28
2 Nya. 11:162Nya 15:9; 30:11
2 Nya. 11:16Kum 12:11; 1Nya 22:1
2 Nya. 11:172Nya 12:1
2 Nya. 11:172Nya 1:1; 7:17; 8:13; Ho. 6:4
2 Nya. 11:181Sa 16:6; 17:13
2 Nya. 11:201Fa 15:2; 2Nya 11:21
2 Nya. 11:202Sa 13:1; 18:33
2 Nya. 11:201Fa 15:1; 2Nya 12:16; Mt 1:7
2 Nya. 11:21Kum 17:17; Amu 8:30; 1Fa 11:3
2 Nya. 11:23Met 16:20
2 Nya. 11:23Yos 18:11
2 Nya. 11:232Nya 11:11
2 Nya. 11:232Nya 21:3
2 Nya. 11:23Kum 17:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 11:1-23

2 Mambo ya Nyakati

11 Rehoboamu alipofika Yerusalemu,+ mara moja akaikutanisha nyumba ya Yuda na Benyamini,+ wanaume bora, watu hodari wa vita,+ watu 180,000, wapigane na Israeli ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu. 2 Ndipo neno la Yehova likamjia Shemaya+ mtu wa Mungu wa kweli, na kusema: 3 “Mwambie Rehoboamu mwana wa Sulemani mfalme wa Yuda+ na Israeli wote katika Yuda na Benyamini, ukisema, 4 ‘Yehova amesema hivi: “Msipande kwenda kupigana na ndugu zenu.+ Mrudi kila mmoja nyumbani kwake, kwa maana jambo hili limetokea kwa mwongozo wangu.”’”+ Basi wakalitii neno la Yehova, wakarudi, ili wasiende kupigana na Yeroboamu.+

5 Na Rehoboamu akaendelea kukaa Yerusalemu, akajenga majiji yenye ngome katika Yuda. 6 Basi akajenga upya Bethlehemu+ na Etamu+ na Tekoa,+ 7 na Beth-suri+ na Soko+ na Adulamu,+ 8 na Gathi+ na Maresha+ na Zifu,+ 9 na Adoraimu na Lakishi+ na Azeka,+ 10 na Sora+ na Aiyaloni+ na Hebroni,+ majiji yenye ngome, yaliyokuwa katika Yuda na Benyamini. 11 Zaidi ya hayo, akaimarisha mahali penye ngome+ na kuweka viongozi+ ndani yake na akiba za chakula na mafuta na divai, 12 na katika majiji yote mbalimbali akaweka ngao+ kubwa na mikuki;+ naye akaendelea kuyaimarisha kwa kiwango kikubwa sana. Na watu wa Yuda na Benyamini wakaendelea kuwa wake.

13 Na makuhani na Walawi waliokuwa katika Israeli yote wakasimama upande wake kutoka katika maeneo yao yote. 14 Kwa maana Walawi waliviacha viwanja vyao vya malisho+ na miliki+ yao kisha wakaja Yuda na Yerusalemu,+ kwa sababu Yeroboamu+ na wanawe walikuwa wamewaondoa+ wasiwe makuhani kwa Yehova. 15 Naye akajiwekea mwenyewe katika cheo makuhani wa mahali pa juu+ na wa roho waovu wenye umbo la mbuzi+ na wa wale ndama aliokuwa ametengeneza.+ 16 Na wale waliowafuata kutoka katika makabila yote ya Israeli, ambao walikuwa wakitoa moyo wao kumtafuta Yehova Mungu wa Israeli, wakaja Yerusalemu+ kumtolea dhabihu+ Yehova Mungu wa mababu zao. 17 Nao wakaendelea kuutia nguvu ufalme wa Yuda+ na kumthibitisha Rehoboamu mwana wa Sulemani kwa miaka mitatu, kwa maana walitembea katika njia ya Daudi na Sulemani kwa miaka mitatu.+

18 Ndipo Rehoboamu akamchukua Mahalathi binti ya Yerimothi mwana wa Daudi awe mke wake, na ya Abihaili binti ya Eliabu+ mwana wa Yese. 19 Baada ya muda akamzalia wana, Yeushi na Shemaria na Zahamu. 20 Na baada yake akamchukua Maaka+ mjukuu wa Absalomu.+ Baada ya muda akamzalia Abiya+ na Atai na Ziza na Shelomithi. 21 Na Rehoboamu alimpenda zaidi Maaka mjukuu wa Absalomu kuliko wale wake+ zake wengine wote na masuria wake; kwa maana alikuwa amechukua wake 18, pia masuria 60, hivi kwamba akawa na wana 28 na binti 60. 22 Kwa hiyo Rehoboamu akamweka Abiya mwana wa Maaka katika cheo awe kichwa, awe kiongozi kati ya ndugu zake, kwa maana alifikiria kumfanya kuwa mfalme. 23 Hata hivyo, akatenda kwa uelewaji+ na kuwagawanya baadhi ya wanawe wote kwenye nchi zote za Yuda na Benyamini,+ kwenye majiji yote yenye ngome,+ akawapa chakula kwa wingi+ na kuwachukulia wake wengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki