“Chukua wewe vipande kumi; kwa maana Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Tazama, ninaurarua ufalme kutoka mkononi mwa Sulemani, nami hakika nitakupa wewe makabila kumi.+
15 Na mfalme hakuwasikiliza watu; kwa maana Mungu wa kweli+ ndiye aliyeongoza mambo ili Yehova atimize neno+ lake alilomwambia Yeroboamu mwana wa Nebati+ kupitia Ahiya+ Mshilo.+