Kutoka 32:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha Musa akasimama katika lango la kambi na kusema: “Ni nani aliye upande wa Yehova? Na aje kwangu!”+ Nao wana wote wa Lawi wakaanza kujikusanya kwake. Kumbukumbu la Torati 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+
26 Kisha Musa akasimama katika lango la kambi na kusema: “Ni nani aliye upande wa Yehova? Na aje kwangu!”+ Nao wana wote wa Lawi wakaanza kujikusanya kwake.
8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+