26 Kisha Musa akasimama katika lango la kambi na kusema: “Ni nani aliye upande wa Yehova? Na aje kwangu!”+ Nao wana wote wa Lawi wakaanza kujikusanya kwake.
26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+