Kutoka 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+ Kumbukumbu la Torati 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Msimjaribu Yehova Mungu wenu,+ vile mlivyomjaribu huko Masa.+
7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+