Kutoka 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na watu wakaanza kugombana na Musa na kusema:+ “Tupe maji tunywe.” Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnagombana na mimi? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+ Kumbukumbu la Torati 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+ Zaburi 95:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama huko Meriba,+Kama katika ile siku ya Masa, nyikani,+ Waebrania 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali,+ kama katika ile siku ya kufanya jaribu+ nyikani,+
2 Na watu wakaanza kugombana na Musa na kusema:+ “Tupe maji tunywe.” Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnagombana na mimi? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+
8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+
8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama huko Meriba,+Kama katika ile siku ya Masa, nyikani,+ Waebrania 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali,+ kama katika ile siku ya kufanya jaribu+ nyikani,+
8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali,+ kama katika ile siku ya kufanya jaribu+ nyikani,+