Kutoka 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+ Kumbukumbu la Torati 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Msimjaribu Yehova Mungu wenu,+ vile mlivyomjaribu huko Masa.+ Kumbukumbu la Torati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na zaidi ya hayo, huko Tabera+ na huko Masa+ na huko Kibroth-hataava+ mlimkasirisha Yehova.+ Kumbukumbu la Torati 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+ Waebrania 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali,+ kama katika ile siku ya kufanya jaribu+ nyikani,+
7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+
8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+
8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali,+ kama katika ile siku ya kufanya jaribu+ nyikani,+