Hesabu 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini watu wote ambao wamekuwa wakiuona utukufu+ wangu na ishara+ zangu ambazo nimefanya katika Misri na nyikani na bado wakaendelea kunijaribu+ mara kumi hizi, nao hawakuisikiliza sauti yangu,+ Zaburi 78:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakamjaribu Mungu moyoni mwao+Kwa kuomba chakula kwa ajili ya nafsi yao.+ Zaburi 95:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wakati mababu zenu waliponijaribu;+Walinichunguza, pia waliuona utendaji wangu.+ Zaburi 106:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini walionyesha tamaa yao ya ubinafsi nyikani+Na kumjaribu Mungu jangwani.+ Luka 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yesu akajibu, akamwambia: “Imesemwa, ‘Usimjaribu Yehova Mungu wako.’ ”+ 1 Wakorintho 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wala tusimjaribu Yehova,+ kama baadhi yao walivyomjaribu,+ na kuangamizwa na nyoka.+ Waebrania 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ambayo mababu zenu walinijaribu kwa uchunguzi, na bado walikuwa wameyaona matendo+ yangu kwa miaka 40.+
22 Lakini watu wote ambao wamekuwa wakiuona utukufu+ wangu na ishara+ zangu ambazo nimefanya katika Misri na nyikani na bado wakaendelea kunijaribu+ mara kumi hizi, nao hawakuisikiliza sauti yangu,+
9 ambayo mababu zenu walinijaribu kwa uchunguzi, na bado walikuwa wameyaona matendo+ yangu kwa miaka 40.+