Hesabu 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nao umati uliochangamana+ uliokuwa katikati yao ukaonyesha tamaa ya uchoyo,+ na wana wa Israeli pia wakaanza kulia tena na kusema: “Ni nani atakayetupa nyama tule?+ Kumbukumbu la Torati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na zaidi ya hayo, huko Tabera+ na huko Masa+ na huko Kibroth-hataava+ mlimkasirisha Yehova.+ 1 Wakorintho 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu sisi, ili tusiwe watu wanaotamani mambo mabaya,+ kama wao walivyoyatamani.
4 Nao umati uliochangamana+ uliokuwa katikati yao ukaonyesha tamaa ya uchoyo,+ na wana wa Israeli pia wakaanza kulia tena na kusema: “Ni nani atakayetupa nyama tule?+
6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu sisi, ili tusiwe watu wanaotamani mambo mabaya,+ kama wao walivyoyatamani.