Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Kwa sababu ninyi mlitenda isivyofaa kunielekea mimi+ katikati ya wana wa Israeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika nyika ya Zini; kwa sababu ninyi hamkunitakasa mimi katikati ya wana wa Israeli.+

  • Zaburi 105:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Alifungua mwamba, na maji yakaanza kutiririka;+

      Nayo yakapita katika maeneo yasiyo na maji kama mto.+

  • 1 Wakorintho 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na wote walikunywa maji+ yaleyale ya kiroho. Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba+ wa kiroho uliowafuata, na mwamba+ huo ulimaanisha Kristo.+

  • Waebrania 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 huku ikisemwa: “Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki