Zaburi 78:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akatokeza vijito katika mwamba+Na kufanya maji yateremke kama mito.+ Isaya 48:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao hawakupata kiu+ alipokuwa akiwatembeza kupitia mahali palipo ukiwa.+ Alitiririsha kwa ajili yao maji kutoka katika mwamba, naye aliupasua mwamba ili maji yatiririke.”+
21 Nao hawakupata kiu+ alipokuwa akiwatembeza kupitia mahali palipo ukiwa.+ Alitiririsha kwa ajili yao maji kutoka katika mwamba, naye aliupasua mwamba ili maji yatiririke.”+