11 Halafu Musa akainua mkono wake na kuupiga mwamba mara mbili kwa fimbo yake; na maji mengi yakaanza kutoka, nalo kusanyiko na wanyama wao wa kubeba mizigo wakaanza kunywa.+
15 Nawe ukawapa mkate kutoka mbinguni kwa ajili ya njaa yao,+ na kutoka katika mwamba ukawaletea maji kwa ajili ya kiu yao,+ nawe ukawaambia waingie+ na kuimiliki nchi ambayo kwa kiapo ulikuwa umeuinua mkono wako ili kuwapa.+