21 Nao hawakupata kiu+ alipokuwa akiwatembeza kupitia mahali palipo ukiwa.+ Alitiririsha kwa ajili yao maji kutoka katika mwamba, naye aliupasua mwamba ili maji yatiririke.”+
4 na wote walikunywa maji+ yaleyale ya kiroho. Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba+ wa kiroho uliowafuata, na mwamba+ huo ulimaanisha Kristo.+