Zaburi 95:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Yohana 6:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Na wote watafundishwa na Yehova.’+ Kila mtu ambaye amesikia kutoka kwa Baba na ambaye amejifunza huja kwangu.+
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+
45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Na wote watafundishwa na Yehova.’+ Kila mtu ambaye amesikia kutoka kwa Baba na ambaye amejifunza huja kwangu.+