26 Kisha Abneri akamwita Yoabu na kusema: “Je, upanga utakula+ bila kukoma? Je, hujui hakika kwamba uchungu ndio utakaotokea mwishowe?+ Basi, itachukua muda gani kabla hujawaambia watu warudi nyuma, waache kuwafuatilia ndugu zao?”+
26 Na siku iliyofuata akawatokea walipokuwa wakipigana, naye akajaribu kuwapatanisha tena wawe na amani,+ akisema, ‘Wanaume, ninyi ni ndugu. Kwa nini mnatendeana isivyo haki?’+