2 Samweli 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha Abneri akamwita Yoabu na kumuuliza: “Je, upanga utaendelea kuangamiza* bila kukoma? Je, hujui kwamba mwisho utakuwa mchungu tu? Basi, utangoja kwa muda gani ndipo uwaambie watu waache kuwafuatia ndugu zao?”
26 Kisha Abneri akamwita Yoabu na kumuuliza: “Je, upanga utaendelea kuangamiza* bila kukoma? Je, hujui kwamba mwisho utakuwa mchungu tu? Basi, utangoja kwa muda gani ndipo uwaambie watu waache kuwafuatia ndugu zao?”