Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Naye Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kupata nguvu katika ufalme wake,+ na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye,+ akaendelea kumfanya kuwa mkuu zaidi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na wewe ukitembea mbele zangu, kama Daudi+ baba yako alivyotembea, kwa kutenda kulingana na yote ambayo nimekuamuru,+ nawe uyashike masharti+ yangu na maamuzi yangu ya hukumu+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kama desturi ya kila siku+ ili kutoa matoleo kulingana na amri ya Musa kwa ajili ya sabato+ na kwa ajili ya miezi mipya+ na kwa ajili ya sherehe rasmi+ mara tatu kwa mwaka,+ kwenye sherehe ya keki zisizo na chachu+ na kwenye sherehe ya majuma+ na kwenye sherehe ya vibanda.+

  • Hosea 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Nitakufanyia nini, Ee Efraimu? Nitakufanyia nini, Ee Yuda,+ wakati fadhili zenu zenye upendo ni kama mawingu ya asubuhi na kama umande ambao hutoweka mapema?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki