Isaya 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na sasa, enyi wakaaji wa Yerusalemu nanyi watu wa Yuda, tafadhali hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.+ Hosea 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nawezaje kukuacha, Ee Efraimu?+ Nawezaje kukutoa, Ee Israeli?+ Nawezaje kukufanya uwe kama Adma?+ Nawezaje kukuweka uwe kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika ndani yangu;+ na wakati huohuo huruma zangu zimewaka.
3 “Na sasa, enyi wakaaji wa Yerusalemu nanyi watu wa Yuda, tafadhali hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.+
8 “Nawezaje kukuacha, Ee Efraimu?+ Nawezaje kukutoa, Ee Israeli?+ Nawezaje kukufanya uwe kama Adma?+ Nawezaje kukuweka uwe kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika ndani yangu;+ na wakati huohuo huruma zangu zimewaka.