Hosea 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Enyi Waefraimu, kwa nini niwaache?+ Enyi Waisraeli, kwa nini niwatie mikononi mwa maadui wenu? Kwa nini niwatendee kama Adma? Kwa nini niwafanye kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika;Na pia nimechochewa kuwahurumia.+
8 Enyi Waefraimu, kwa nini niwaache?+ Enyi Waisraeli, kwa nini niwatie mikononi mwa maadui wenu? Kwa nini niwatendee kama Adma? Kwa nini niwafanye kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika;Na pia nimechochewa kuwahurumia.+