Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao. Yeremia 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+ Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka. Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+ Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.
20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+ Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka. Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+ Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+