1 Wafalme 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yeroboamu+ mwana wa Nebati,+ Abiyamu akawa mfalme juu ya Yuda.+ 2 Mambo ya Nyakati 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwishowe Rehoboamu akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi;+ na Abiya+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. Mathayo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sulemani akamzaa Rehoboamu;+Rehoboamu akamzaa Abiya;Abiya+ akamzaa Asa;+
15 Na katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yeroboamu+ mwana wa Nebati,+ Abiyamu akawa mfalme juu ya Yuda.+
16 Mwishowe Rehoboamu akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi;+ na Abiya+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.