Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 12:1

Marejeo

  • +2Nya 11:17
  • +Kum 8:14; 32:15; 2Nya 26:16; Met 30:9
  • +Mhu 9:18; Mik 6:16

2 Mambo ya Nyakati 12:2

Marejeo

  • +1Fa 14:21
  • +1Fa 11:40; 14:25
  • +Amu 2:14; 2Nya 7:19

2 Mambo ya Nyakati 12:3

Marejeo

  • +Kut 14:9; 1Fa 10:29
  • +Amu 6:5
  • +Nah 3:9
  • +2Nya 14:9; 16:8

2 Mambo ya Nyakati 12:4

Marejeo

  • +2Nya 11:5; Isa 36:1
  • +2Fa 18:17

2 Mambo ya Nyakati 12:5

Marejeo

  • +1Fa 12:22; 2Nya 11:2
  • +Kum 28:15; 2Nya 15:2
  • +Ayu 34:11; Ebr 10:38

2 Mambo ya Nyakati 12:6

Marejeo

  • +1Fa 8:38; 2Nya 33:12; 34:27; Yak 4:10
  • +Kut 9:27; Zb 89:14; Yer 50:7

2 Mambo ya Nyakati 12:7

Marejeo

  • +1Fa 21:29; 1Pe 5:5
  • +1Fa 12:22
  • +Law 26:41; Amo 7:6
  • +2Nya 12:2

2 Mambo ya Nyakati 12:8

Marejeo

  • +Isa 26:13
  • +Kum 28:47
  • +Ho. 2:7; 8:10

2 Mambo ya Nyakati 12:9

Marejeo

  • +1Fa 14:25
  • +1Fa 7:51
  • +1Fa 14:26; 2Fa 14:14
  • +1Fa 10:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1988, uku. 26

2 Mambo ya Nyakati 12:10

Marejeo

  • +1Sa 22:17
  • +2Sa 23:23
  • +1Fa 14:27

2 Mambo ya Nyakati 12:11

Marejeo

  • +1Fa 14:28

2 Mambo ya Nyakati 12:12

Marejeo

  • +2Nya 33:12; Isa 57:15
  • +Omb 3:22
  • +Mwa 18:24; 1Fa 14:13; 2Nya 19:3

2 Mambo ya Nyakati 12:13

Marejeo

  • +1Fa 14:21
  • +Kum 12:5; 2Nya 6:6; Zb 48:2; 78:68
  • +Kut 20:24; Kum 12:11
  • +1Fa 14:21
  • +Kum 23:3; 1Fa 11:1; Ne 13:26

2 Mambo ya Nyakati 12:14

Marejeo

  • +1Fa 15:34
  • +Kum 5:29; 1Sa 7:3; 1Fa 18:21; Mk 12:30; Ro 12:9; Yak 5:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2018, kur. 14-15

2 Mambo ya Nyakati 12:15

Marejeo

  • +1Nya 29:29
  • +1Fa 12:22; 2Nya 11:2
  • +2Nya 9:29; 13:22
  • +1Fa 14:30
  • +1Fa 12:20

2 Mambo ya Nyakati 12:16

Marejeo

  • +1Fa 14:31
  • +2Sa 5:9
  • +Mt 1:7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 12:12Nya 11:17
2 Nya. 12:1Kum 8:14; 32:15; 2Nya 26:16; Met 30:9
2 Nya. 12:1Mhu 9:18; Mik 6:16
2 Nya. 12:21Fa 14:21
2 Nya. 12:21Fa 11:40; 14:25
2 Nya. 12:2Amu 2:14; 2Nya 7:19
2 Nya. 12:3Kut 14:9; 1Fa 10:29
2 Nya. 12:3Amu 6:5
2 Nya. 12:3Nah 3:9
2 Nya. 12:32Nya 14:9; 16:8
2 Nya. 12:42Nya 11:5; Isa 36:1
2 Nya. 12:42Fa 18:17
2 Nya. 12:51Fa 12:22; 2Nya 11:2
2 Nya. 12:5Kum 28:15; 2Nya 15:2
2 Nya. 12:5Ayu 34:11; Ebr 10:38
2 Nya. 12:61Fa 8:38; 2Nya 33:12; 34:27; Yak 4:10
2 Nya. 12:6Kut 9:27; Zb 89:14; Yer 50:7
2 Nya. 12:71Fa 21:29; 1Pe 5:5
2 Nya. 12:71Fa 12:22
2 Nya. 12:7Law 26:41; Amo 7:6
2 Nya. 12:72Nya 12:2
2 Nya. 12:8Isa 26:13
2 Nya. 12:8Kum 28:47
2 Nya. 12:8Ho. 2:7; 8:10
2 Nya. 12:91Fa 14:25
2 Nya. 12:91Fa 7:51
2 Nya. 12:91Fa 14:26; 2Fa 14:14
2 Nya. 12:91Fa 10:17
2 Nya. 12:101Sa 22:17
2 Nya. 12:102Sa 23:23
2 Nya. 12:101Fa 14:27
2 Nya. 12:111Fa 14:28
2 Nya. 12:122Nya 33:12; Isa 57:15
2 Nya. 12:12Omb 3:22
2 Nya. 12:12Mwa 18:24; 1Fa 14:13; 2Nya 19:3
2 Nya. 12:131Fa 14:21
2 Nya. 12:13Kum 12:5; 2Nya 6:6; Zb 48:2; 78:68
2 Nya. 12:13Kut 20:24; Kum 12:11
2 Nya. 12:131Fa 14:21
2 Nya. 12:13Kum 23:3; 1Fa 11:1; Ne 13:26
2 Nya. 12:141Fa 15:34
2 Nya. 12:14Kum 5:29; 1Sa 7:3; 1Fa 18:21; Mk 12:30; Ro 12:9; Yak 5:8
2 Nya. 12:151Nya 29:29
2 Nya. 12:151Fa 12:22; 2Nya 11:2
2 Nya. 12:152Nya 9:29; 13:22
2 Nya. 12:151Fa 14:30
2 Nya. 12:151Fa 12:20
2 Nya. 12:161Fa 14:31
2 Nya. 12:162Sa 5:9
2 Nya. 12:16Mt 1:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 12:1-16

2 Mambo ya Nyakati

12 Na ikawa kwamba mara tu ufalme wa Rehoboamu ulipofanywa imara+ na mara tu alipokuwa na nguvu, akaiacha sheria ya Yehova,+ na pia Israeli+ wote pamoja naye. 2 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu,+ Shishaki+ mfalme wa Misri akaja kushambulia Yerusalemu, (kwa maana walikuwa wamejiendesha kwa ukosefu wa uaminifu kwa Yehova,)+ 3 akiwa na magari+ 1,200 na wapanda-farasi 60,000; na hawakuwa na hesabu+ wale watu waliotoka Misri pamoja naye —Walibya,+ Wasukii na Waethiopia.+ 4 Naye akayateka majiji yenye ngome yaliyokuwa ya Yuda,+ na mwishowe akaja mpaka Yerusalemu.+

5 Sasa Shemaya+ nabii akamjia Rehoboamu na wakuu wa Yuda waliokuwa wamekusanyika Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki, naye akawaambia: “Yehova amesema hivi, ‘Ninyi mmeniacha mimi,+ nami pia nimewaacha ninyi+ mkononi mwa Shishaki.’” 6 Ndipo wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza+ na kusema: “Yehova ni mwadilifu.”+ 7 Na Yehova alipoona+ kwamba wamejinyenyekeza, neno la Yehova likamjia Shemaya,+ na kusema: “Wamejinyenyekeza.+ Sitawaharibu, na baada ya kitambo kidogo nitawafanya waponyoke, na ghadhabu yangu haitamwagika juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.+ 8 Lakini wao watakuwa watumishi wake,+ ili wajue tofauti kati ya utumishi+ wangu na utumishi kwa falme za nchi.”+

9 Basi Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu, akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya mfalme.+ Akachukua kila kitu; kwa hiyo akazichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+ 10 Basi Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake, akaziweka chini ya wakuu wa wakimbiaji,+ walinzi+ wa mlango wa nyumba ya mfalme.+ 11 Na ikawa ikitukia kwamba kila mara mfalme akija katika nyumba ya Yehova, wakimbiaji waliingia na kuzichukua na kuzirudisha katika chumba cha walinzi cha wakimbiaji.+ 12 Na kwa sababu alijinyenyekeza, hasira ya Yehova ikageuka,+ ikaondoka juu yake, naye hakufikiria kuwaharibu kabisa.+ Na zaidi ya hayo, kulikuwa na mambo mema katika Yuda.+

13 Na Mfalme Rehoboamu akaendelea kuimarisha cheo chake katika Yerusalemu na kuendelea kutawala; kwa maana Rehoboamu+ alikuwa na umri wa miaka 41 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 17 katika Yerusalemu, jiji+ ambalo Yehova alichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli ili kuweka jina lake humo.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama+ Mwamoni.+ 14 Lakini yeye alifanya yaliyokuwa mabaya,+ kwa maana hakuwa ameufanya imara moyo wake ili kumtafuta Yehova.+

15 Na mambo ya Rehoboamu, ya kwanza na ya mwisho,+ je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Shemaya+ nabii na Ido+ mwonaji kulingana na maandikisho ya kiukoo? Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu+ na Yeroboamu+ wakati wote. 16 Mwishowe Rehoboamu akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi;+ na Abiya+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki