9 Nao Wamisri wakawafuatilia, na farasi wote wa magari wa Farao na askari wake wapanda-farasi+ na majeshi yake wakawafikia walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari, karibu na Pihahirothi, kukabili Baal-sefoni.+
29 Na kwa kawaida gari lilikuwa likija na kusafirishwa kutoka Misri kwa vipande 600 vya fedha, na farasi kwa vipande 150; na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa wafalme wote wa Wahiti+ na wafalme wote wa Siria. Walikuwa wakisafirisha vitu kupitia hao.