4 Na eneo lenu litakuwa kutoka nyika hii na huu mlima Lebanoni mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati, yaani, nchi yote ya Wahiti,+ na mpaka kwenye ile Bahari Kuu upande wa magharibi.+
6 Na Yehova alikuwa amefanya kambi ya Wasiria isikie+ sauti ya magari ya vita, sauti ya farasi, sauti ya jeshi kubwa,+ hivi kwamba wakaambiana: “Tazama! Mfalme wa Israeli amekodi juu yetu wafalme wa Wahiti+ na wafalme wa Misri+ ili waje juu yetu!”