29 Waamaleki+ wanakaa katika nchi ya Negebu,+ na Wahiti na Wayebusi+ na Waamori+ wanakaa katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanakaa kando ya bahari na kando ya ukingo wa Yordani.”
3 Wakanaani+ upande wa mashariki na magharibi, na Waamori+ na Wahiti+ na Waperizi+ na Wayebusi+ katika eneo lenye milima na Wahivi,+ pale chini ya Hermoni+ katika nchi ya Mispa.+