Yoshua 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa jambo hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yupo katikati yenu,+ na kwamba bila shaka atawafukuzia mbali kutoka mbele yenu Wakanaani na Wahiti na Wahivi na Waperizi na Wagirgashi na Waamori na Wayebusi.+
10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa jambo hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yupo katikati yenu,+ na kwamba bila shaka atawafukuzia mbali kutoka mbele yenu Wakanaani na Wahiti na Wahivi na Waperizi na Wagirgashi na Waamori na Wayebusi.+