Mwanzo 36:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Timna+ akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi, Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau. Kutoka 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao Waamaleki+ wakaja na kupigana na Israeli huko Refidimu.+ 1 Samweli 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+
12 Naye Timna+ akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi, Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau.
3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+