Kumbukumbu la Torati 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Jambo ambalo Amaleki alikutendea njiani mlipokuwa mkitoka Misri, likumbukwe,+ 1 Samweli 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova wa majeshi amesema hivi,+ ‘Lazima nitoze hesabu+ yale ambayo Amaleki alimfanyia Israeli alipompinga njiani alipokuwa akipanda kutoka Misri.+
2 Yehova wa majeshi amesema hivi,+ ‘Lazima nitoze hesabu+ yale ambayo Amaleki alimfanyia Israeli alipompinga njiani alipokuwa akipanda kutoka Misri.+