Kutoka 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao Waamaleki+ wakaja na kupigana na Israeli huko Refidimu.+ Hesabu 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Alipomwona Amaleki, akaendeleza neno lake la kimethali na kusema:+“Amaleki alikuwa wa kwanza wa mataifa,+Lakini mwisho wake baadaye utakuwa kuangamia kwake.”+ Kumbukumbu la Torati 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Jambo ambalo Amaleki alikutendea njiani mlipokuwa mkitoka Misri, likumbukwe,+ Kumbukumbu la Torati 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 jinsi alivyokukuta njiani naye akaanza kupiga upande wa nyuma wale wote waliokuwa wanajikokota nyuma yako, nawe ulikuwa umeishiwa na nguvu na kuchoka; naye hakumwogopa Mungu.+
20 Alipomwona Amaleki, akaendeleza neno lake la kimethali na kusema:+“Amaleki alikuwa wa kwanza wa mataifa,+Lakini mwisho wake baadaye utakuwa kuangamia kwake.”+
18 jinsi alivyokukuta njiani naye akaanza kupiga upande wa nyuma wale wote waliokuwa wanajikokota nyuma yako, nawe ulikuwa umeishiwa na nguvu na kuchoka; naye hakumwogopa Mungu.+