Kutoka 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Woga na hofu zitaanguka juu yao.+Kwa sababu ya ukuu wa mkono wako watatulia kama jiwe,Mpaka watu wako+ wapite, Ee Yehova,Mpaka watu ambao umewatokeza+ wapite.+ Zaburi 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ Waroma 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Hakuna kumwogopa Mungu mbele ya macho yao.”+
16 Woga na hofu zitaanguka juu yao.+Kwa sababu ya ukuu wa mkono wako watatulia kama jiwe,Mpaka watu wako+ wapite, Ee Yehova,Mpaka watu ambao umewatokeza+ wapite.+
36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+