29 Waamaleki+ wanakaa katika nchi ya Negebu,+ na Wahiti na Wayebusi+ na Waamori+ wanakaa katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanakaa kando ya bahari na kando ya ukingo wa Yordani.”
19 Na itatukia kwamba wakati ambapo Yehova Mungu wako atakuwa amekupumzisha kutokana na adui zako wanaokuzunguka pande zote katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi ili uimiliki,+ utafutilia mbali jina la Amaleki kutoka chini ya mbingu.+ Hupaswi kusahau.
30Na ikawa kwamba, wakati Daudi na watu wake walipokuwa wakija Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ wakavamia upande wa kusini na pia Siklagi; wakapiga Siklagi, wakaliteketeza kwa moto,