Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao Waamaleki+ wakaja na kupigana na Israeli huko Refidimu.+

  • Hesabu 13:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waamaleki+ wanakaa katika nchi ya Negebu,+ na Wahiti na Wayebusi+ na Waamori+ wanakaa katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanakaa kando ya bahari na kando ya ukingo wa Yordani.”

  • Hesabu 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Alipomwona Amaleki, akaendeleza neno lake la kimethali na kusema:+

      “Amaleki alikuwa wa kwanza wa mataifa,+

      Lakini mwisho wake baadaye utakuwa kuangamia kwake.”+

  • Kumbukumbu la Torati 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na itatukia kwamba wakati ambapo Yehova Mungu wako atakuwa amekupumzisha kutokana na adui zako wanaokuzunguka pande zote katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi ili uimiliki,+ utafutilia mbali jina la Amaleki kutoka chini ya mbingu.+ Hupaswi kusahau.

  • 1 Samweli 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, na watu wengine wote akawaangamiza kwa makali ya upanga.+

  • 1 Samweli 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na ikawa kwamba, wakati Daudi na watu wake walipokuwa wakija Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ wakavamia upande wa kusini na pia Siklagi; wakapiga Siklagi, wakaliteketeza kwa moto,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki