Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na Myebusi+ na Mwamori+ na Mgirgashi

  • Kutoka 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana malaika wangu ataenda mbele yako naye kwa kweli atakuongoza kwa Waamori na Wahiti na Waperizi na Wakanaani, na Wahivi na Wayebusi, nami hakika nitawafutilia hao mbali.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wakati ambapo Yehova Mungu wako mwishowe atakuingiza katika nchi ambayo unaenda kuimiliki,+ pia ataondolea mbali mataifa yenye hesabu kubwa ya watu toka mbele yako,+ Wahiti+ na Wagirgashi+ na Waamori+ na Wakanaani+ na Waperizi+ na Wahivi+ na Wayebusi,+ mataifa saba yenye hesabu kubwa ya watu na yenye nguvu kuliko wewe.+

  • Waamuzi 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu;+ bali Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Benyamini katika Yerusalemu mpaka leo.+

  • 2 Samweli 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hivyo Daudi akasema siku hiyo: “Yeyote atakayewapiga Wayebusi,+ basi, kwa kutumia mfereji wa chini kwa chini wa maji,+ na akutane na vilema pamoja na vipofu, wenye kuchukiza nafsi ya Daudi!” Ndiyo sababu wao husema: “Kipofu na kilema hawataingia katika nyumba.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki