Kutoka 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nitamtuma malaika mbele yako+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, na Wahiti na Waperizi, Wahivi na Wayebusi;+ Yoshua 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa jambo hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yupo katikati yenu,+ na kwamba bila shaka atawafukuzia mbali kutoka mbele yenu Wakanaani na Wahiti na Wahivi na Waperizi na Wagirgashi na Waamori na Wayebusi.+
2 Nami nitamtuma malaika mbele yako+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, na Wahiti na Waperizi, Wahivi na Wayebusi;+
10 Kisha Yoshua akasema: “Kwa jambo hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yupo katikati yenu,+ na kwamba bila shaka atawafukuzia mbali kutoka mbele yenu Wakanaani na Wahiti na Wahivi na Waperizi na Wagirgashi na Waamori na Wayebusi.+