13 Kisha ikawa kwamba Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, akainua macho yake na kuangalia, na tazama, palikuwa na mwanamume+ aliyesimama mbele yake akiwa na upanga uliochomolewa mkononi mwake.+ Kwa hiyo Yoshua akamwendea na kumwambia: “Je, wewe uko upande wetu au upande wa adui zetu?”