Yoshua 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, aliinua macho na kumwona mwanamume+ fulani amesimama mbele yake akiwa ameshika upanga uliochomolewa.+ Yoshua akamkaribia na kumuuliza: “Uko upande wetu au wa maadui wetu?”
13 Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, aliinua macho na kumwona mwanamume+ fulani amesimama mbele yake akiwa ameshika upanga uliochomolewa.+ Yoshua akamkaribia na kumuuliza: “Uko upande wetu au wa maadui wetu?”