Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alipoinua macho yake,+ kisha akatazama, kumbe pale, wamesimama wanaume watatu umbali fulani kutoka kwake. Alipowaona akaanza kukimbia awapokee kutoka mwingilio wa hema naye akainama kifudifudi.+

  • Kutoka 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana malaika wangu ataenda mbele yako naye kwa kweli atakuongoza kwa Waamori na Wahiti na Waperizi na Wakanaani, na Wahivi na Wayebusi, nami hakika nitawafutilia hao mbali.+

  • Waamuzi 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo mwanamke huyo akaenda, akamwambia mume wake: “Kuna mtu fulani wa Mungu wa kweli ambaye alinijia, na sura yake ilikuwa kama sura ya malaika wa Mungu wa kweli,+ yenye kuogopesha sana.+ Nami sikumuuliza mahali alikotoka, wala hakuniambia jina lake.+

  • Matendo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao walipokuwa wakitazama angani alipokuwa ameondoka na kwenda,+ pia, tazama! wanaume wawili wenye mavazi meupe+ wakasimama kando yao,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki