Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Kutoka 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+

  • Kutoka 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nitamtuma malaika mbele yako+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, na Wahiti na Waperizi, Wahivi na Wayebusi;+

  • Kumbukumbu la Torati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wakati ambapo Yehova Mungu wako mwishowe atakuingiza katika nchi ambayo unaenda kuimiliki,+ pia ataondolea mbali mataifa yenye hesabu kubwa ya watu toka mbele yako,+ Wahiti+ na Wagirgashi+ na Waamori+ na Wakanaani+ na Waperizi+ na Wahivi+ na Wayebusi,+ mataifa saba yenye hesabu kubwa ya watu na yenye nguvu kuliko wewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki