5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
28 “Uwe mwangalifu, nawe utii maneno yote haya ambayo ninakuamuru wewe,+ ili mambo yakuendee vema+ wewe na wana wako baada yako mpaka wakati usio na kipimo, kwa sababu utafanya yaliyo mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+